Kiongozi wa chama cha wiper Kalonzo Musyoka na naibu mwenyekiti wa ODM Hassan Joho wamewataka wabunge kuweka siasa za mirengo kando ili kurekebisha vipengee tata katika mswada wa fedha wa 2024 angalau kumfaa mkenya anyepitia wakati mgumu kiuchumi.
# …